Hymn Kenii
Z Wikipedii, wolnej encyklopedii
| Ee Mungu Nguvu Yetu | |
|---|---|
| Państwo | |
| Tekst | Graham Hyslop, G. W. Senoga-Zake, Thomas Kalume, Peter Kibukosya, Washington Omondi |
| Lata obowiązywania | 1963– |
Ee Mungu nguvu yetu - narodowy hymn Kenii.
Tekst w języku suahili:
- Ee Mungu nguvu yetu
- Ilete baraka kwetu
- Haki iwe ngao na mlinzi
- Natukae na undugu
- Amani na uhuru
- Raha tupate na ustawi.
- Amkeni ndugu zetu
- Tufanye sote bidii
- Nasi tujitoe kwa nguvu
- Nchi yetu ya
- Kenya tunayoipenda
- Tuwe tayari kuilinda.
- Natujenge taifa letu
- Ee ndio wajibu wetu
- Kenya istahili heshima
- Tuungane mikono pamoja kazini
- Kila siku tuwe nashukrani
|
|||||

